Ijumaa, 10 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Leicester haihusu Ubaniani na Uislamu, lakini inahusu Hindutva na Malengo yake ya Ufashisti kote Ulimwenguni

Machafuko ya hivi majuzi jijini Leicester kwa mara nyingine tena yameangaza mwanga kuhusu itikadi kifashisti ya mrengo wa kulia ya Hindutva. Ghasia za Leicester haziwezi kulaumiwa kwa mvutano kati ya jamii au mechi ya kriketi, kama ambavyo mabadiliko ya tabianchi hayawezi kulaumiwa kwa kutovaa makoti yalitengezwa kwa sufi. Kuna usuli wa masuala haya ambao hauwezi kupuuzwa.

Soma zaidi...

“Basi msiwaogope, bali niogopeni Mimi mkiwa nyinyi ni Waumini.”

Waislamu na wasiokuwa Waislamu kwa pamoja walisusia ombi la kutapatapa la kukubaliwa lililoonyeshwa katika msikiti wa katikati mwa London wiki hii. Vyombo vya habari vilialikwa kutazama watoto wa Kiislamu wakilazimishwa kuimba wimbo wa taifa wa Uingereza, ingawa ni maombi ya kumuombe mfalme na ahifadhiwe, atutawale na kuwa washindi juu yetu.

Soma zaidi...

Ripoti ya Habari ya Sudan

Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika wilaya na mikoa mbali mbali ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu juu ya hukmu za Uislamu na suluhu zake zinazohusiana na mifumo mbali mbali ya maisha, ambazo zimeshughulikia mgogoro ya utawala na mipango inayopendekezwa kuutatua, na maafa ya mafuriko na mvua zilizonyesha katika mikoa mbalimbali nchini...

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu