Miaka 25 ya Kumbukumbu Chungu: Msukumo wa Kutochoka katika Ulinganizi wa Kurudisha tena Khilafah Ngao na Mlinzi wetu wa Ukweli na SIO Umoja wa Mataifa
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kutoa heshima kwa maelfu ya Waislamu hususan wanaume na vijana waliouliwa katika mauaji ya Julai 1995 wakati wa vita vya Balkan, António Guterres aliahidi kuwa hawatosahauliwa kattu.



